AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NI Headlines za kundi la muziki kutokea nchini Kenya, Sauti Sol ambao mapema leo asubuhi wamemaliza makubaliano na kusaini mkataba wa kufanya kazi na label kubwa iitwayo Universal Music Group.
Kwasasa Sauti Sol rekodi zao zitakuwa zikisimamiwa na Universal Music Group mpaka Album yao mpya inayotarajiwa kutoka mwaka huu itakuwa chini ya Label hiyo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK