AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
DAKTARI wa mwanamitindo mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘ Sanchi’ amempiga stop mrembo huyo kuvaa nguo za kubana kwa kipindi hiki ambacho amepandikiza mbegu kwa ajili ya kupata watoto mapacha. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Sanchi alisema kuwa amepewa sharti hilo na daktari wake kwa tahadhari kuwa uvaaji huo unaweza kumsababishia kukosa watoto hao.
“Nimeamua kubadilika na kufuata masharti niliyopewa na daktari kwa sababu nina hamu na watoto mapacha,” alisema Sanchi
STORI: IMELDA MTEMA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK