Waasi Watumia Ndege zisizo na Rubani Kushambulia Wanajeshi Yemen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zaidi ya wanajeshi 80 wa Yemen wameuwawa na wengine wengi wamejeruhiwa kwenye Shambulizi la Kombora la Ndege zisizokuwa na Rubani lililofanywa na Waasi wa Houthi katikati ya Yemen.

Mashambulizi hayo yanafuatia miezi kadhaa ya utulivu kiasi katika Nchi hiyo inayokabiliwa na vita kati ya Waasi wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran.

Waasi wa kihouthi walishambulia msikiti mmoja katika Kambi ya Kijeshi iliyoko kwenye mkoa wa kati wa Marib kilomita 170 Mashariki mwa Mji mkuu Sanaa wakati wa sala ya Magharibi.

Mashambulizi yamefanyika siku moja baada ya wanajeshi wa Serikali wanaoungwa mkono na Kikosi cha Muungano kuanzisha operesheni kubwa dhidi ya Wahouthi katika mkoa wa Nihm Kaskazini mwa Sanaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad