AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile ameagiza Polisi wawakamate Watumishi wawili wa Hospitali ya Wilaya ya Rungwe kwa wizi wa dawa na utunzaji mbovu wa dawa pamoja na kondomu.
Naibu Waziri amechukizwa na kitendo cha Mfamasia wa Hospitali hiyo Eliah Kandonga kuanika kondomu juani akidai anataka kuzirejesha katika ubora wake baada ya kuona zinaharibika.
“Ni kosa kubwa hili, unawezaje kuhifadhi kondomu kwa kuzianika juani!, zinaharibika hata kuwa chanzo cha ongezeko la VVU, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Rungwe pia asimamishwe”– Ndugulile
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK