AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abiria wawili ambao walikuwa kwenye Meli ya kifahari ya Diamond Princess ambayo iliwekwa chini ya uangalizi maalum kwa siku 14 nchini Japan wamefariki Dunia kwa Corona, hii inafanya idadi ya waliofariki Japan kufikia watatu.
Abiria walizuiwa kutoka kwenye Meli hiyo kufuatia baadhi yao kubainika kuwa na corona lakini baadae walianza kuambukizana ndani ya Meli ambapo zaidi ya abiria 400 wameathirika na corona.
Kwa sasa wameruhusiwa kushuka, Marekani ilituma ndege mbili kuchukua Raia wake na leo Alhamisi Wachina 114 ambao walikuwa kwenye Meli hiyo wamesafirishwa kwa ndege hadi Hongkong.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK