Abiria wawili kwenye meli ya kifahari ya Diamond Princess wafariki kwa virusi vya corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Abiria wawili ambao walikuwa kwenye Meli ya kifahari ya Diamond Princess ambayo iliwekwa chini ya uangalizi maalum kwa siku 14 nchini Japan wamefariki Dunia kwa Corona, hii inafanya idadi ya waliofariki Japan kufikia watatu.

Abiria walizuiwa kutoka kwenye Meli hiyo kufuatia baadhi yao kubainika kuwa na corona lakini baadae walianza kuambukizana ndani ya Meli ambapo zaidi ya abiria 400 wameathirika na corona.

Kwa sasa wameruhusiwa kushuka, Marekani ilituma ndege mbili kuchukua Raia wake na leo Alhamisi Wachina 114 ambao walikuwa kwenye Meli hiyo wamesafirishwa kwa ndege hadi Hongkong.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad