Korea Kusini: Mashabiki Walipwa TZS 722,000 Baada ya Ronaldo Kukosa Mechi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Mchezaji maarufu wa mpira Cristiano Ronaldo kukosa mechi ya kirafiki, Mahakama moja nchini Korea Kusini imeagiza mashabiki wawili kulipwa fidia ya £240 (Sawa na Tsh. 721,727.50)

Waandaaji wa mechi hiyo, The Fasta wametakiwa kulipa fedha hizo baada ya kutangaza kuwa Ronaldo atacheza kwa dakika 45 dhidi ya Ligi ya K, Julai 2019. Lakini tofauti na ilivyotarajiwa, mchezaji huyo hakutokea

Wakili Kim Min-ki amesema mashabiki hao walipata Shinikizo la kiakili, na kudai waandaaji walidanganya kwa maslahi yao wenyewe

Tiketi 65,000 ziliuzwa ndani ya dakika tatu baada ya mashabiki kuahidiwa kuwa Ronaldo atakuwepo katika mechi hiyo

Ilipogundulika kuwa mchezaji huyo hatocheza, mashabiki walikasirika na kuanza kuimba nyimbo za kumsifia Mchezaji wa Barcelona, Lionel Messi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad