AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Mawasiliano ,Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amemrarua aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye kwa kitendo cha kutaka mashamba yake kuwa ajenda kuu.
Mrema aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter baada ya kuona taarifa ya Sumaye akidai kuwa alikwenda upinzani kujenga upinzani alichokikuta ni kupambana na polisi na usalama wa taifa.
SOMA HABARI HIZI KIRAHISI KUPITIA APP YETU YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD HAPA
Sumaye alisema hawana ajenda nyingine hakuna upinzani dhairi bali ni upinzani maslahi.
Mrema aliandika ujumbe huu
“Huyu mzee asituchefue… Upinzani maslahi kuliko yeye kupigania mashamba yake na alitaka iwe ajenda kuu?,”.
Huyu Mzee asituchefue ......Upinzani maslahi kuliko yeye kupigania mashamba yake na Alitaka iwe ajenda kuu? https://t.co/wJ0vUtFGsQ— Jon Mrema (@JonMrema) February 10, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK