Mrembo BEYONCE Amkana Q BOY, Sio Mpenzi Wangu, Siwezi Kudate Na Star Bongo, Siwezi Omba Msamaha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bongo kweli kiki Deal Juzi tu wametangaza kuwa wako pamoja kimapenzi ila leo Mrembo kamrudi kimanga Mwanaume....Mrembo BEYONCE Amkana Q BOY, Sio Mpenzi Wangu, Siwezi Kudate Na Star Bongo, Siwezi Omba Msamaha

VIDEO:


Soma Comment za Wadau

Ishara Espoir: huyu ni mgonjwa wa akili. hajielewi

MUSSA JUMA:Mimi nilikuwa naona yule dada aliekupiga ni chizi kumbe wewe mbuzi mjinga

TedY Mwandara: Yani huyu cjui km akili anazo, hizi kiki zingine sio.Ila Yusufu Mlela umekutana na kiboko yako huyu ndo kakunyoosha sasa.

Fikiri James: Huyu Malaya anatafta umaarufu kwa nguvu msiwe mnawafanyia interview mbuzi hawa.....

Sophie Aden: Sam Misago, acheni ku interview watu wa unga kama huyu Stella

Ney Joseph; Na wewe mtangazaji una moyo kweli si umkate kibao tu akili yake imkae sawa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad