NABII Aliyemtabiria JPM Urais Atabiri Rais Mpya Burundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Kiongozi wa Kanisa la Ufunuo lililopo Kimara Bonyokwa Jijini Dar, Askofu Paul Bendera amezidi kuendeleza kazi yake ya utume na kupandikiza mbegu ya imani kwa mataifa na sasa ametua nchini Burundi ambako amefanya maombi makubwa ya kuimarisha amani nchini humo.

 

Askofu Bendera ambaye amekuwa mbeba maono ya Mungu amemtabiria mteule wa kuwania urais kupitia chama cha CNDD-FDD, Jenerali Evariste Ndayishimiye kuwa atashinda na kuwa Rais ajaye wa Burundi.

 

Pia amemshukuru Rais wa sasa wan chi hiyo, Piere nkurunzinza kwa moyo wake wa uzalendo na mambo mazuri mengi aliyoitendea nchi hiyo katika kipindi chote cha uongozi wake.

 

Askofu Bendera amemshukuru pia Rais wa Tanzania, Dkt. John pombe Magufuli kwa kuweka misingi imara ya ushirikiano kati ya Tanzania na Burundi na kwamba heshima zote wanazopewa wachungaji wa Tanzania wanapofika Burundi na nchi nyingine basi zianzie kwa Rais Magufuli mwenyewe.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad