RC Makonda Ampata Mtoto Aliyewaliza Mastaa Mitandaoni, Aanza Safari ya Kwenda Kutibiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtoto mdogo ambaye video yake ilikuwa inasambaa mitandaoni akilia kwa uchungu kutokana na maumivu makali, tayari ameanza safari ya kutoka Pemba kwenda Unguja kwa jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.


Mapema leo asubuhi Bongo5TV ilizungumza na ndugu ya jamaa wa mtoto huyo na kusema wamekwamba kumsafirisha mtoto huyo baada ya mashirikika ya ndege kumkataa. “Leo asubuhi baada ya michango ya watanzania tulikata tiketi na baada ya kufika muda wa kusafiri wakakataa kumsafirisha mgonjwa.” alisema Rashed ambaye ni ndugu wa familia.

Aliongeza
“Tunamshukuru mungu baada ya RC wa Dar es Salaam Paul Makonda kuamua kutusaidia sasa hivi tunavyozungumza mgojwa yupo kwenye ndege anakuja Unguja na baada ya hapo ndio safari ya Dar itaanza”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad