Tambo za Manara: Simba iongezewe Viingilio ni Dhambi Kulipa PESA ile Kumuangalia Luis Akicheza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara ameliomba Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF iongezewe viingilio katika mechi zao kutokana na kiwango walichonacho.

Manara amesema hayo kutokana na mchezo wa jana wa ligi dhidi ya Kagera Sugar, ambao Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Meddie Kagere.

Manara amesema, "TFF na Bodi ya Ligi ongezeni viingilio katika mechi zetu, ni dhambi kulipa pesa ile kumuangalia Luis Miquissone akicheza.", amesema.



Aidha Manara amemzugumzia kiungo mpya wa klabu hiyo, Luis Miquissone kutokana na kiwango alichokionesha katika mchezo huo wa jana, "jana nilikuwa najiuliza namuangalia Messi au?", amesema.

"Sasa hivi kubaki nyumbani wakati Miquissone anacheza ni kosa linaloweza kukuweka 'lock up' wiki.", ameongeza.

Simba hivi sasa ina pointi 59 katika nafasi ya kwanza, ikifuatiwa na Azam FC yenye pointi 44 huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na Namungo FC yenye pointi 40 sawa na Yanga ambyo inakamata nafasi ya nne.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad