Wanafunzi 14 wafariki kwa kukanyagana Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanafunzi 14 wamefariki dunia huku wengine 39 wakijeruhiwa katika Shule ya Msingi Kakamega nchini Kenya kutokana na kukanyagwa na wenzao na kuanguka wakati wakikimbia.

Ajali hiyo imetokea Jumatatu Februari 3 majira ya saa 11 joni wakati watoto hao wakitoka madarasani kurejea makwao, ambapo tayari wanafunzi 20 waliojeruhiwa wameruhusiwa kutoka hospitali.

“Kumpoteza mtoto ni tukio linalouma sana. Natoa salamu za pole kwa wazazi wote waliofiwa na watoto wao,” Waziri wa Elimu, George Magoha amesema.

Kamanda wa Polisi wa Kakamega, David Kabena amesema chanzo cha tukio hilo hakijafahamika lakini amebainisha kuwa tayari uchunguzi umeanza.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad