AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Kuzuia #DawaZaKulevya Tanzania, imesema Watanzania 85 wanatarajiwa kunyongwa Mjini Hong Kong baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
Kaimu Kamishna Jenerali wa mamlaka hiyo, James Kaji, amesema Watanzania hao walihukumiwa kwa Sheria ya nchi hiyo ambayo mtu akipatikana na hatia katika makosa ya #DawaZaKulevya adhabu yake ni kunyongwa
Aidha, Watanzania 265 walikamatwa nchini humo kwa kosa hilo hilo na tayari 130 wamehukumiwa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK