Watanzania 85 Wanatarajiwa Kunyongwa Kwa Kujihusisha na Dawa za Kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Kuzuia #DawaZaKulevya Tanzania, imesema Watanzania 85 wanatarajiwa kunyongwa Mjini Hong Kong baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya

Kaimu Kamishna Jenerali wa mamlaka hiyo, James Kaji, amesema Watanzania hao walihukumiwa kwa Sheria ya nchi hiyo ambayo mtu akipatikana na hatia katika makosa ya #DawaZaKulevya adhabu yake ni kunyongwa

Aidha, Watanzania 265 walikamatwa nchini humo kwa kosa hilo hilo na tayari 130 wamehukumiwa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad