Watu Wenye Umri Mrefu Duniani Wapatikana Japan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtandao maarufu wa kutunza rekodi duniani "Guiness World Records" umemtaja na kumkabidhi cheti bwana Chitetsu Watanabe kutoka Niigata Japan, kama ndiyo mwanaume mwenye umri mrefu zaidi duniani akiwa na miaka 112.


Bibi Kane Tanaka na Babu Chitetsu Watanabe, waliovunja rekodi ya kuwa na umri mrefu zaidi Japan

Babu huyo Chitetsu Watanabe ni mtoto wa kwanza kati ya watoto 8 kutoka kwa Baba yake na Mama yake na amezaliwa  Machi 5, 1907.

Kwa mujibu wa mtandao huo umempongeza mzee huyo kuwa mwanaume mwenye umri mrefu duniani kwa sasa, mwenyewe amesema siri iliyomfanya kufikia umri huo ni kutokuwa na hasira bali kuendelea kuwa na tabasamu usoni mwake.

Historia yake inaonesha mzee huyo alikuwa ni mwanajeshi na amepigana vita ya mwaka 1944, kisha akaastaafu na sasa anajishughulisha na kilimo.

Aidha kutokea hukohuko nchini Japan bibi wa miaka 117 Kane Tanaka, amekabidhiwa cheti kutoka mtandao huo wa rekodi kwa kuwa mwanamke mwenye umri mrefu zaidi duniani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad