AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MKALI wa Bongo Fleva anayekimbiza na Ngoma ya Mafioso, William Lymo ‘Bilnass’ amemkana kweupe mwanadada Faustina Charles ‘Nandy’ kuwa hana mpango wa kufunga naye ndoa.
Juzikati, kwenye moja ya intavyu zake, Nandy alikaririwa akisema kuwa atafunga ndoa mwaka 2021 na alipoulizwa kama atafunga na Bilnass, alikuwa na kigugumizi.
Bilnass au Bilinenga ameiambia OVER ZE WEEKEND kuwa, hakuna kinachoendelea kati yake na Nandy na kwamba kwa sasa amebaki kuwa kama mwanamuziki mwenzake.
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
“Hakuna kitu kama hicho. Ni kweli nipo kwenye uhusiano wa kimapenzi, lakini siyo na Nandy,” amesema Bilnass ambaye uhusiano wake wa kimapenzi na Nandy ulibumburuka baada ya kusambaa kwa video yao chafu wakiwa chumbani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK