AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaharakati kutoka Mtandao wa Jinsia nchini (TGNP), Vivian Lugulumu, amesema pesa ya mahari inayotolewa kabla ya ndoa, inafaa itolewe kwa wanawake na wanaume bikra ambao hawajawahi kushiriki tendo la ndoa.
Akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, kinachoruka siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 12:00 asubuhi mpaka 4:00 asubuhi, Mwanaharakati huyo amesema sasa hivi ndoa imefanywa kama fashion kwa wanaoenda kuolewa au kuoa.
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
"Mahari ni kwa ajili ya wanawake bikra na wanaume bikra tu, ila kwa sasa ndoa ndiyo imefanywa kama fashion kwa wanawake wanavyoenda kuolewa, kwanza mkaja wa mama na mahari ni vitu viwili tofauti, mkaja ni ahsante kwa mama kwa kumlea binti yake" amesema Vivian Lugulumu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK