AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu wa mwisho (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu huku mtaani ninapoishi inasemekana na watu wamekuwa wakiongea kwa muda mrefu sana ya kuwa;
Mke wako sio ndugu yako. Bali watoto utakaozaa naye ndio ndugu zako. Je, kauli kama hii ina ukweli wowote ndani yake?
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
Ninaomba watu wazima wenye uzoefu na maisha ya ndoa wanisaidie kufafanua kauli hii tafadhali.
Ninaomba busara na hekima itawale badala ya matusi pamoja na kejeli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni sahihi kabisa,watoto wako ndio ndugu zako,mke anaweza kukuacha na kwenda kjolewa na mwanaume mwengine
ReplyDelete