AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kichama wa Ilala Jijini Dar es Salaam, Dkt. Milton Makongoro Mahanga amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Machi 23, 2020 katika Hospitali ya taifa Muhimbili (MNH) alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu tangu juzi.
Katibu wa Chadema Mkoa wa Ilala, Jerome Olomi amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema taarifa zaidi kuhusu msiba huo zitatolewa baadaye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK