Virusi Vya Corona Vyatua Nchi Jirani Ya Rwanda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rwanda imethibitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19). Raia wa India aliyewasili nchini humo kutoka Mumbai, India, Machi 8, 2020 amethibitishwa kuwa na virusi vya corona.

Kulingana na wizara ya afya, mgonjwa huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.

Kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa wengine. Wote aliokuwa na mgonjwa huyo wanaendelea kutafutwa katika juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad