AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mkoani Lindi, Christopher Ngubiagai amekemea kitendo hicho na kuahidi kuwachulia hatua kali wote waliohusika
Baadhi ya wananchi wa Wilayani humo wamewazomea watalii wa kizungu waliotembelea Wilaya hiyo kuangalia mambo mbalimbali ya kihistoria
Pia, Ngubiagai ameagiza Taasisi zote binafsi na za Umma Wilayani humo kutengeneza sehemu ya kunawia mikono watu mbalimbali pindi waingiapo katikaofisi zao
Mpaka sasa Mataifa 180 yameathirika kutokana na virusi hivyo huku watu 246,972 wakiathirika, watu 10,050 wakipoteza maisha na 88,486 wakipona virusi hiyo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK