AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mwezake Antony Komu (Mbunge wa Chadema moshi vijijini) kutangaza kung’atuka ndani ya Chadema na kujiunga na Chama cha NCCR Mageuzi Mbunge wa Chadema Jimbo la Ubungo Saed Kubenea anatarajia kuwa na mkutano wa waandishi wa habari.
Itakumbukwa kuwa Oktoba, 2018, Komu na Kubenea ni marafiki na mara kadhaa wamepewa adhabu ya pamoja kwa kosa kuunda njama ovu dhidi ya mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe na Meya wa Ubungo Boniphace Jacob.
Wabunge Chadema wazungumzia madai ya kuvuja kwa sauti zao ...
Siku chache zilizopita Komu aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kutangaza uamzi wake na kesho Kubenea ataongea na wanahabari hajeleza ni nini hasa atazungumzia lakini watu wameanza kunong’ona kuwa huenda akangatuka katika chama chake cha sasa.
Komu na Kubenea wamekuwa wakihusishwa kuondoka Chadema kwa muda mrefu mmoja kati yao ameskwisha tangaza nia mwingine haifahamiki pengine kusubiri kesho.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK