AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu 21 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa kipindupindu kusini mashariki mwa Nigeria.
Mratibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ebonyi Dk. Eyo Nora ametangaza kwa waandishi wa habari kuwa watu 21 wamekufa katika janga la kipindupindu la nchini humo.
Nora amebaini kuwa kesi 155 za kipindupindu zimegunduliwa katika jimbo hilo, na kwamba dawa za dharura na vifaa vya matibabu vimepelekwa katika sehemu husika.
Nora amesema kuwa wameanza kuchukua hatua za kuzuia mlipuko huo, unaosababishwa na ukosefu wa maji safi na usafi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK