AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa huyu mpenzi wangu amenigharamia sana yani kuanzia nguo zote hadi chakula nacho kula vyote ni msaada wake yeye na amejitolea kuninunulia gari la kutembelea na kanambia nitafute kiwanja ili tujenge nyumba ya kupangisha.
Ila mimi kwa sasa naona kama huyu mwanaume hatuendani kwani yeye hana elimu ila anafanya kazi kutumia akili ya kuzaliwa, Jamani mimi nataka kuishi na msomi mwenzangu ila huyu kaka mimi naona kama freemasson kwani kanisaidia sana asije akanitoa kafala, Mimi kwa sasa nimepata mpenzi mpya ambae anaelimu ya chuo pia ni sharo sio mshamba kama huyu wa zamani.
Sasa please naombeni ushauri wenu jamani nimwambiaje kama sipo tayari kuishi na yeye huyu mpenzi wa zamani bila kuumiza moyo wake...?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Duuuuuh pole sana
ReplyDeleteHuo usomi ulionao sio wako ni wake kwani bila yeye usingekuwa msomi. Mwache ila usije kulialia hapa kwani iko siku utamkumbuka tena mwambie tu ukweli kuwa unataka kumwacha kwa kuwa wewe ni msomi na unamtaka msomi mwenzako kwani alifanya kukufanya kuwa msomi hivyo unataka kumwacha.
ReplyDeleteKWELI FADHILA MFANYIE MBWA SIO BINADAMU ATAKUUZI. ELA YAKE IMEKUWA YA FREEMASON SASA KWA KUWA AMEKUTOA MATONGOTONGO.