AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amerusha kijembe kuwa mwaka huu hawana lao na kwamba ndio mwisho wa ujanjaujanja.
Polepole aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa kumekuwa na mtindo wa kusambaza video zake ambazo zimekatwa au kuhaririwa.
“Kumekuwepo na mtindo wa kusambaza video zanfu ambazo zimekatwa au kuhaririwa ili kuondoa mtiririko na kupotosha mantiki ya ujumbe husika na uliokusudiwa.
” My message: wasijifiche katika kusambaza video visivyo kamili. Mwaka huu hawana lao, huu ndio mwisho wa ujanjaujanja,” aliandika polepole
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Polepole hawa wapotoshaji, tunawapa pole, tena poleni sana, End of the Game
ReplyDeleteTumesha wajua na kuwachoka.
2020 ni Kijaniiii. Na Inapendeza.