AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vita kati ya Rapa Tekashi na mkongwe Snoop Dogg imefikia katika hatua mbaya , baada ya Tekashi kushare video ya snoop akiwa na mchepuko
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tekashi alishare video hiyo aliyoambatanisha na maneno- " Kipindi nipo jela watu walitumia nguvu kubwa sana kuhakikisha sitoki na hata nikitoka basi nisisikike tena . Leo nimetoka wananichokonoa na baada ya kurudisha majibu wanaomba yaishe, haya sasa snoop nenda kaombe radhi kwa mkeo "
Video hiyo ambayo hata ivyo baadae aliifuta , anaonekana Snoop akiwa katika chumba na msichana , na video nyingine anaonekana akiwa anaongea nae kwenye simu .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK