Rapa Tekashi Avujisha VIDEO za Snoop Dogg Akiwa na Mchepuko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Vita kati ya Rapa Tekashi  na mkongwe Snoop Dogg imefikia katika hatua mbaya , baada ya Tekashi kushare video ya snoop akiwa na mchepuko

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tekashi alishare video hiyo aliyoambatanisha na maneno- " Kipindi nipo jela watu walitumia nguvu kubwa sana kuhakikisha sitoki na hata nikitoka basi nisisikike tena . Leo nimetoka wananichokonoa na baada ya kurudisha majibu wanaomba yaishe, haya sasa snoop nenda kaombe radhi kwa mkeo "

Video hiyo ambayo hata ivyo baadae aliifuta , anaonekana Snoop akiwa katika chumba na msichana , na video nyingine anaonekana akiwa anaongea nae kwenye simu .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad