AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UHUSIANO kati ya Marekani na China umeendelea kuzorota kwa kasi tangu kuanza kwa janga la Corona lililoua makumi ya Raia wa Marekani
Jana Mei 14, 2020 , Rais wa Marekani Donald Trump alisema kwa sasa hana mpango na hataki kuzungumza na Rais Xi Jinping wa China na akaenda mbali zaidi na kusema anafikiria kusitisha uhusiano na taifa hilo la pili kwa nguvu za uchumi duniani.
Akizungumza na kituo cha televisheni cha Fox, hapo Jana, Trump alisema amesononeshwa sana na kitendo cha China kushindwa kulidhibiti janga la corona.
Takwimu zinaonesha Marekani imeathiriwa vibaya zaidi na virusi vya corona kuliko nchi nyingine yoyote Duniani.
Kwa takwimu za leo asubuhi, Maambukizi ya Virusi vya Corona nchini humo yamefika 1,457,593, waliopona ni 318,027 tu na vifo vimefika 86,912
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK