AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Producer wa @harmonize_tz ambaye kwa sasa ameacha kufanya nae kazi @officialbonga_ amefunguka kiundani kilichomtoa .
Akiongea na Bongo5 @official Bonga_ ameeleza kuwa aliamua kuondoka kwa sababu aliyokuwa anaahidiwa hakutimiziwa lakini pia hakuwahi kunufaika na chochote kutokana na ngoma kali alizowahi kumtengenezea HARMONIZE.
Aliongeza kuwa kuna siku aliumia sana baada ya Harmonize kumuahidi kumnunulia gari ila alipopata gari siku hiyo akamwambia ana mood mbaya
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK