AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Floyd ametoa kiasi cha ($88,500) sawa na takribani milioni 204.7 za Kitanzania kulipia mazishi ya George ambaye aliuawa na askari wa kizungu wiki iliyopita.
Mayweather ame-share nasi hundi ya Kiasi hicho cha fedha ambacho amekiwasilisha kwenye familia ya marehemu. Mwakilishi wa Floyd Mayweather ameiambia TMZ kwamba familia ya George Floyd imekubali kupokea ofa hiyo.
Bondia huyo mstaafu ameguswa na kifo cha George sio tu kwa sababu ni Mmarekani mweusi, bali pia kutokana na CEO wa TMT Anzel Jennings kuwa mtu wake wa karibu na walipitia makuzi pamoja
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK