Floyd Mayweather Amejitolea Kulipia Gharama zote za Mazishi ya Marehemu George Floyd

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Floyd ametoa kiasi cha ($88,500) sawa na takribani milioni 204.7 za Kitanzania kulipia mazishi ya George ambaye aliuawa na askari wa kizungu wiki iliyopita.

Mayweather ame-share nasi hundi ya Kiasi hicho cha fedha ambacho amekiwasilisha kwenye familia ya marehemu. Mwakilishi wa Floyd Mayweather ameiambia TMZ kwamba familia ya George Floyd imekubali kupokea ofa hiyo.

Bondia huyo mstaafu ameguswa na kifo cha George sio tu kwa sababu ni Mmarekani mweusi, bali pia kutokana na CEO wa TMT Anzel Jennings kuwa mtu wake wa karibu na walipitia makuzi pamoja
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad