Kauli ya BASATA baada ya Vanessa kuacha muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza, amesema uamuzi wa msanii Vanessa Mdee kuacha muziki ni mzuri kwake kwa sababu alikuwa hapati sapoti kwa mzazi wake, lakini kwa upande mwingine kukata tamaa ni mwiko au dhambi.


Hayo ameyaeleza mapema leo Juni 24, 2020 mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa wasanii wa uchoraji "tingatinga" na waandishi wa habari.

"Ni kweli kuna changamoto kwenye upande wa burudani, lakini muda mwingine kukata tamaa ni mwiko au dhambi kwa kazi ambayo unaipenda na kwa upande mwingine, inazungumzia wasanii ambao wanaishi maisha ambayo sio ya uhalisia ila na imani sio wote watakaokuwa wanaacha muziki ipo siku atarudi tu" ameeleza Godfrey Mngereza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mngerza, Basata na Mama Rita.

    Malipo ya Kayumba, Hamisi na Meshack
    yakoje mpaka sasa?

    ReplyDelete

Top Post Ad