AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka Kenya yamefanyika maandamano katika Ubalozi wa Marekani jana jumanne, Watu wakipaza sauti kupinga mauaji ya George Floyd aliyefariki akiwa mikononi mwa Polisi Marekani.
"Floyd alifariki akiwa mikononi mwa Polisi wenu, maisha ya Watu weusi yana thamani Marekani na Afrika kwa ujumla, tumeandamana kuonesha hatukubaliani na kilichofanywa"
OPEN IN BROWSER
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ningetaraji nchi zote za kiafrica kufanya hivyo na si za western chache pekee!!
ReplyDeleteWale wa haki za binadamu vipi?! Mbona kimyaaa?
ReplyDeleteSu hili halina mvuto?