AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Mbunge wa Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Job Ndugai kutoa taarifa kuwa Mh. Mbowe ambaye alidaiwa kuvamiwa na watu watatu na kuvunjwa mguu kuwa alituma madaktari wake kumpima Mbowe Hospitalini na kukutwa alilewa chakari.
Mbunge wa Geita Joseph Kasheku Musukuma ameomba Mh. Freeman Mbowe arudishwe Dodoma yeye atamjibu kienyeji na kudai kwamba asipopona ndani ya siku 3 avuliwe Ubunge wake.
Mbali na hilo Musukuma ameongeza kuwa Mbowe aikunywa pombe aina ya Faru John na watu aliokuwa nao anawafahamu. VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mh Msukuma, Hawa ni Wasanii Unda glaund
ReplyDeleteHuu ni mtiririko wa Ngonjera zao.
Let us Enjoy the show...!!!
Atarudi Jijini Dodoma kesho,
Deletekuja kutoa ushirikiano katika
upelelezi unao Endelea .
Kamada Muroto anayo timu kabambe
inaendelea na madai ya kinacho
itwa UVAMIZI/ USAMBULIZI.
Na HARUFU ZASIZO JULIKANA MPAKA
KUMALIZA AIRFLESHNA NTYUKA.