Mwanamuziki DRAKE Atoa Shilingi Milioni 200 Kwa Ajili ya Kuwawekea Dhamana Waandamanaji Waliolamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Drake amechangia kiasi cha ($100K) sawa na TSH. 200M kwa ajili ya kuwawekea dhamana Waandamanaji ambao wanashikiliwa na polisi katika maandamano ya kupinga ukatili wa polisi na kuhitaji haki itendeke kufuatia mauaji ya Mmarekani mweusi George Floyd.

Hamasa ya Drake kuchangia kiasi hicho imekuja baada ya mshairi maarufu na mwimbaji wa mjini Toronto Mustafa kuchangia ($400) na kisha kumtaka Drizzy afanye hivyo. Baadaye Drake alijiongeza na kuweka risiti ya mamilioni kwenye insta story yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad