RC Aukataa Ubunge, Adai Yeye Anatafuta Kura za JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema kuwa wakati anapewa nafasi hiyo aliambiwa akachape kazi hivyo ni lazima atekeleze agizo hilo kwanza na wala hana hata mpango wa kupanga foleni kutafuta jimbo wa Ubunge wa Viti Maalum.


RC Mndeme ametoa kauli hiyo leo Juni 23, 2020, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, wakati akieleza majukumu yake katika Mkoa na kusema kuwa kitu cha kwanza ambacho amekuwa akikizingatia ni masuala ya usalama kisha mambo mengine ndiyo yanafuata.

"Mimi nachapa kazi sababu nimetumwa kuchapa kazi, sijatumwa kugombea mimi mtaniona kwenye harakati natafuta kura za Rais Magufuli na wana CCM, Madiwani na Wabunge lakini siyo kugombea Jimbo wala Ubunge wa Viti Maalum" amesema RC Mndeme.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad