Ujumbe wa Zitto kwa Membe "Umefukuzwa Uanachama CCM, Bado Unatetea Haki yako Unganisha Nguvu vyama Mbadala"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, amemkaribisha aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mwanachama wa CCM Bernard Membe, kuunganishe nguvu kupitia vyama mbadala hii ni mara baada ya yeye kufukuzwa uanachama ndani ya CCM.


Kushoto ni aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe na kulia ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo.

Taarifa hiyo imetolewa kupitia ukurasa wa mtandao wa Twitter wa chama hicho hii leo Juni 30, 2020, ambapo imeandikwa hivi,

“Ndugu yangu Bernard Membe kafukuzwa uanachama wa CCM, ninajua bado anatetea haki yake ya uanachama huko ni hatua sahihi, hata hivyo muda wa kuleta mabadiliko katika nchi umewadia, ninamsihi afanye maamuzi ya kuunganisha nguvu kupitia vyama mbadala” umeeleza ujumbe huo ambao umetolewa na Zitto Kabwe.

"Mimi najua @BenMembe anaipenda Tanzania na ni Mwana demokrasia.
Adhihirishe mapenzi yake kwa nchi yetu kwa kuongeza nguvu kwa vyama mbadala."@zittokabwe
Kiongozi wa Chama pic.twitter.com/kD6E7XHTDS

— ACT Wazalendo (@ACTwazalendo) June 30, 2020

OPEN IN BROWSER
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wewe Dogo, Si uliwahi kuwaga Mbunge
    kipindi kilichopita?

    Sasa ya watu Unayatakia nini?

    Mbona una kihere here. wewe umeshapita
    wakati wako. Tulia huko huko twita
    kabla ya Rahisi wa Online hajakustukia

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mdau, huyu ana Hulka ya uchonganishi

      Ya Membe mwachie Membe.

      Wewe yanakusshia nini? au hujui
      kwamba Kibajaji anajua kukuna.

      Delete
  2. Bernard Camilius Membe, Unanishangaza na kunihuzunisha Mwanagu.
    Hivyo wewe umeshindwa kusoma alama za Nyakati?

    Leo ulete fikira ya CUF Lipumba aungane na Maalimu Seif kweli jameni? inakuingia Akilini!!
    Au Mbatia aungane na Mbowe.. Faru Joni ni kitu kisichowezekana.
    kwa hali halisi ilivyo sasa. Au mie Sielewi? Nijuze mwanangu.

    Nisicho kielewa zaidi ni Upeo wa Akili zako. kwamba wakiungana labda wewe ndio Ugombee.. Unataka kugombe NINI?

    Kwa huu muonekano wa Fikra Zako.. inaelekea hata Ujumbe wa nyumba kumi kumi HUUWEZI na pia inanitia Mashaka kwamba wewe ulisha wahi kuwa nasikia WAZIRI.. Kweli WAZIRI.. Hasa WAZIRI..??

    Inatia shaka zaidi alie kuchagua KILAZA wewe kukupa Madaraka.

    Mie ningekushauri , Kutamana na VIBEKO , Mpange mikakati yenu
    mtakayo kubaliana kuanzisha Saccozi mpya ya Boda Boda au Car washing frenchasing Business na wewe uwe Raisi wa Saccozi hiyo
    mpya. na ukitaka ushauri zaidi tafadhali umuone Mr, Steve Nyerere
    ili aweze kukusaidia on How to Deal with Vibeko.

    Hivyo uko Tanzania au Nchini Twita ..? Manake fikra zako haziingi Akilini ni kama za Kilaza wa Kigoma.

    Nakutakia mafanikio mema katika Biashara yako Mpya. Tujulishe ukisha Sajili ili tukusapoti kama Kawa Mwanangu. Siasa Huijui.

    ReplyDelete

Top Post Ad