AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kupitia CHADEMA amejiunga Chama cha Mapinduzi (CCM).
Nassari alivuliwa ubunge Machi 2019 kutokana na kutohudhuria mikutano mitatu ya bunge mfululizo bila ruhusa.“Sababu kubwa iliyonileta CCM ni kwa kuwa naipenda nchi yangu.,“Haikuwa kazi rahisi kufanya haya maamuzi ya kuja CCM, yale yote mnayotaka kuyasikia na kuyaona kutoka kwangu mtayasikia na kuyaona hata kama sio leo, sababu kubwa iliyonileta CCM ni kwakuwa naipenda Nchi yangu”
“Ukiongea habari ya Ndege wapingaji wanasema nani anapanda?, mbona wakati wa Mwl Nyerere hamkusema Mwl unatupa Ndege hatuna hela ya kupanda,leo tuna Ndege 11, ile moja USD Mil 31, nimeingia Bungeni hatuna hata Ndege, unaachaje kumuunga mkono JPM!?”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK