Betri Yatajwa Kuwa Chanzo cha Iran Kuilipua Ndege ya Ukraine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wachunguzi wa Iran wamesema betri ya kombora ambayo haikukaa vizuri mahala pake na kutokuelewana vyema kati ya wanajeshi na makamanda wao ndio sababu ya walinzi hao wa mapinduzi kuiangusha ndege ya abiria ya Ukraine mnamo mwezi Januari ambapo watu 176 waliuawa.



Ripoti iliyotolewa na shirika la usafiri wa anga la Iran, imetolewa miezi kadhaa baada ya kuanguka kwa ndege hiyo mnamo Januari 8 karibu na Tehran ambayo kwa siku kadhaa, serikali ilikanusha kuhusika.


Tukio hilo lilitokea usiku ambao Iran ilifanya shambulizi la kombora lililolenga wanajeshi wa Marekani nchini Iraq kwa kujibu shambulizi la ndege isiyoendeshwa na rubani ya Marekani lililosababisha mauaji ya jenerali wa jeshi la mapinduzi Qassem Soleimani nchini Baghdad.

Ripoti hiyo ilijumuisha mfululizo wa nyakati ambazo shambulizi hilo dhidi ya ndege hiyo ya Ukraine nambari 752 lingeepushwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad