AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
#BreakingNews: Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia Chadema) Joshua Samwel Nassari amehudhuria kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Arusha.
Tetesi zinadai huenda akaachana Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kujiunga na
CCM.
Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Tanzania, Kheri James, Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wengine wengi.
Marchi 2019 Spika Ndugai alitangaza kumvua Ubunge Joshua Nassari kwa kushindwa vikao vitatu vya mahudhurio ndani ya Bunge.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK