JPM Awakalisha Mondi Na Alikiba Pamoja Ikulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wasanii wawili ambao ni mahasimu wakubwa katika game ya muziki wa Bongo, Diamond Platnumz na Alikiba, leo wamekutanishwa na Rais John Magufuli alipowaalika Ikulu ya Chamwino Dodoma, mualiko alioutoa kwa wageni wote walioalikwa kwenye mkutano mkuu wa CCM Dodoma, wasanii wakiwa miongoni mwao.



Akizungumza Ikulu, Rais Magufuli ameonyesha kufurahishwa na kitendo cha wasanii hao kukutana na kushare jukwaa moja, Alisema ” Unapoona Ali Kiba na Diamond wamekaa pamoja unaona nguvu ya CCM. Unapomuona Harmonize anamsifia Diamond.



Hii ndio Tanzania ninayoitaka” Alisema Rais JPM akionyesha Kuguswa na jinsi wasanii hawa walivyozika tofauti zao, na kuungana pamoja kwa maslahi ya Chama cha Mapinduzi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad