Q Chief Afunguka Kumkataa Harmonize "Alikuwa na Nia Njema ila Nyuma yake Kuna Vitu Vilikuwa Vinaendelea Nikajikataa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii mkongwe wa BongoFleva Q Chief amesema yeye ndiyo aliamua kujikataa ili kutovunja heshima kwa msanii Harmonize baada ya kuwepo na maneno kuhusu kusaidiwa na msanii huyo.

Q Chief amesema Harmonize alikuwa na nia njema ya kumsaidia pia alipenda harakati ila kama mtu mzima alielewa kuna vitu vinaendelea hivyo aliamua kujikataa ili kutovunja heshima na thamani kwa kuamua kukaa kimya.

"Mdogo wangu alikuwa ana dhamira nzuri na maamuzi, alitaka kufanya kitu kwa ajili ya kaka yake na nilipenda harakati zake, ila kumbuka nyuma yake kuna taasisi na watu ambao wamemzunguka kwa hiyo kuna muda kukawa kuna vitu vinaendelea au kuongeleka nyuma yangu ambavyo sivielewi au sivijui, nikasema kutovunja heshima ya mtu aliyekupa thamani bora ukawa kimya nikajikataa" amesema Q Chief
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad