Ugomvi wa Mali: Kanisa Lashambuliwa, Watano Wauawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Polisi Afrika Kusini wamesema watu watano akiwemo mlinzi wa Kanisa la ‘International Pentecostal Holiness’ wamepigwa risasi na kuchomwa moto hadi kufa baada ya washambuliaji kuvamia Kanisa hilo na kuteka waliokuwemo

Polisi wamefanikiwa kuwaokoa waliotekwa na kuwakamata takriban watu 40 na kuzuia bunduki 16, bastola 13 na bunduki za rasharasha 5. Inasemekana uongozi wa Kanisa hilo umekuwa katika ugomvi tangu aliyekuwa kiongozi wa Kanisa alipofariki 2016

Kulingana na msemaji wa kikosi cha Polisi cha taifa, Brigedia Vish Naidoo, kundi lililoshambulia lilifahamisha kundi lililokuwa ndani ya kanisa kwamba wanakuja kutwaa udhibiti wa jengo la kanisa

Ifahamike kuwa Mwaka jana, fedha za kanisa takribani 15,206,007,982 zilipotea na hazijulikani zilipo

Idara ya Polisi ya Afrika Kusini imesema miongoni mwa waliokamatwa ni Maafisa wa Polisi wa idara hiyo, maafisa wa kikosi cha Jeshi la Ulinzi, maafisa Polisi wa mji wa Johannesburg pamoja na maafisa wa idara ya huduma ya Magereza

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad