AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi Afrika Kusini wamesema watu watano akiwemo mlinzi wa Kanisa la ‘International Pentecostal Holiness’ wamepigwa risasi na kuchomwa moto hadi kufa baada ya washambuliaji kuvamia Kanisa hilo na kuteka waliokuwemo
Polisi wamefanikiwa kuwaokoa waliotekwa na kuwakamata takriban watu 40 na kuzuia bunduki 16, bastola 13 na bunduki za rasharasha 5. Inasemekana uongozi wa Kanisa hilo umekuwa katika ugomvi tangu aliyekuwa kiongozi wa Kanisa alipofariki 2016
Kulingana na msemaji wa kikosi cha Polisi cha taifa, Brigedia Vish Naidoo, kundi lililoshambulia lilifahamisha kundi lililokuwa ndani ya kanisa kwamba wanakuja kutwaa udhibiti wa jengo la kanisa
Ifahamike kuwa Mwaka jana, fedha za kanisa takribani 15,206,007,982 zilipotea na hazijulikani zilipo
Idara ya Polisi ya Afrika Kusini imesema miongoni mwa waliokamatwa ni Maafisa wa Polisi wa idara hiyo, maafisa wa kikosi cha Jeshi la Ulinzi, maafisa Polisi wa mji wa Johannesburg pamoja na maafisa wa idara ya huduma ya Magereza
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK