AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslimu amesema mmiliki wa gari lililosababisha vifo vya watu tisa iliyotokea eneo la Oil com, Nanenane Manispaa ya Morogoro amejisalimisha polisi.
Taarifa hiyo imetolewa leo Jumanne, Juni 29, 2021 katika mkutano wake na waandishi wa habari kwenye kituo kikuu cha Mabasi Msamvu wakati wa Operesheni maalumu ya ukaguzi wa Mabasi ya abiria.
Kamanda Muslimu amesema katika operesheni hiyo iliyofanyika usiku wa kuamkia leo,wamekamata magari 36 ambayo hayakuwa na vibali vya kusafiri.
Aidha,amebainisha kuwa magari mengi yamekuwa yakiwekwa mashada ya maua na picha zinazoonyesha kuwa ni za marehemu huku wahusika wakieleza kuwa wanasafirisha msiba wakati wanajua kuwa si kweli
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK