Mmiliki wa gari ajali ya Morogoro ajisalimisha polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,  Fortunatus Muslimu amesema mmiliki wa gari lililosababisha vifo vya watu tisa  iliyotokea eneo la Oil com, Nanenane  Manispaa ya Morogoro amejisalimisha polisi.



Taarifa hiyo imetolewa  leo Jumanne, Juni 29, 2021 katika mkutano wake na waandishi wa habari kwenye  kituo kikuu cha Mabasi Msamvu  wakati wa Operesheni maalumu ya ukaguzi wa  Mabasi ya abiria.

Kamanda Muslimu amesema katika  operesheni hiyo iliyofanyika usiku wa kuamkia leo,wamekamata magari 36 ambayo hayakuwa na vibali vya kusafiri.

Aidha,amebainisha kuwa magari mengi yamekuwa yakiwekwa mashada ya maua na picha zinazoonyesha  kuwa ni za marehemu huku wahusika wakieleza kuwa wanasafirisha msiba wakati wanajua kuwa si kweli
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad