AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MREMBO mwenye umbo matata Bongo na video vixen, Nicole Joyce Berry ‘Nicolejoyberry’ amefunguka kuwa yeye ni kimbilio la Staa wa Bongofleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ pindi anapoachwa na kuwa mpweke.
Wawili hao ambao mwaka jana walidaiwa kutoka kimapenzi, licha ya kusita kukanusha madai hayo, penzi lao linadaiwa kuchipua baada ya Harmo kumshirikisha Nicole katika ngoma yake ya ‘Bedroom’ ambayo mrembo huyo alicheza kama Video vixen.
Mwanadada huyo aliyeiteka mitandao ya kijamii kwa mapicha picha ya mitego kimahaba, amethibitisha hilo kupitia insta story yake baada ya kuulizwa na shabiki mmoja iwapo anadate na Harmo.
“Mimi ni kimbilio lake Harmonize akiachwa na watoto hadi wazee, ni rafiki yangu ambaye tunaheshimiana, tunatukanana na kupendana… ni baba wa mwanangu, ni kaka wa wadogo zangu” alijibu Nicole.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK