Steve Nyerere kafunguka kuukosa ukuu wa wilaya ‘Sijakasirika, kile kiti tu, nimepokea pole nyingi’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutangaza orodha ya aliyowateulia katika nafasi ya Ukuu wa Wilaya, sasa Ayo TV & Millardayo.com imempata Mwigizaji Steve Nyerere kujibu yale yanayoendelea mitandaoni juu wanaomsema kuhusu kukosa teuzi hiyo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad