AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa bongo fleva Rajab Kahali maarufu Harmonize kwa mara ya kwanza amezungumzia sakata la aliyekuwa mpenzi wake Frida Kajala maarufu kama Kajala ambapo amesema kuwa amewasamehe wale wote ambao walimkosea na amefuta kesi ambayo alimfungulia mwanadada huyo kwa madai ya kumdhalilisha kwa kukiuka sheria ya makosa ya mtandao baada ya kuvujisha picha za utupu zinazodaiwa kuwa ni za msanii
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK