AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota maarufu wa filamu nchini Wema Sepetu ameomba asifuatiliwe kama ambavyo yeye hamfuatilii mtu.
Wema amesema hayo jana kwa msisitizo akizungumza na waaandishi wa habari kwenye part ya Birthday ya msanii #GigyMoney, hii ni baada watu mbalimbali kumnanga kupita kiasi kufuatia kupost matangazo ya Waganga wa Kienyeji kwenye ukurasa wake wa instagram.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK