AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa kawaida mshindi wa taji la Miss Tanzania ndiye anapaswa kuwakilisha nchi kwenye mashindano #MissWorld.
.
Kwa sasa anayeshikilia taji ni @rosey_manfere ( Miss Tanzania 2020/2021) na bila shaka alikuwa kwenye maandalizi kwa ajili ya kushiriki Miss World.
.
Mshangao umetokea jana, baada ya @misstanzaniaorganisation (Waandaaji wa Mashindano) kumpost mshindi namba 2 wa mashindano hayo, wakionesha yeye ndiye anakwenda Miss World na sio mshindi @rosey_manfere. Hawajaeleza sababu wala kutoa maelezo.
.
Leo kupitia Twitter, Miss Tanzania @rosey_manfere amesema hana taarifa rasmi kuhusu jambo hilo na kuongeza kwamba suala hilo limefika @basata.tanzania na yeye anasubiri muongozo wao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK