Miss Tanzania Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kusikia Amevuliwa Taji la Miss Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kwa kawaida mshindi wa taji la Miss Tanzania ndiye anapaswa kuwakilisha nchi kwenye mashindano #MissWorld.
.
Kwa sasa anayeshikilia taji ni @rosey_manfere ( Miss Tanzania 2020/2021) na bila shaka alikuwa kwenye maandalizi kwa ajili ya kushiriki Miss World.
.
Mshangao umetokea jana, baada ya @misstanzaniaorganisation (Waandaaji wa Mashindano) kumpost mshindi namba 2 wa mashindano hayo, wakionesha yeye ndiye anakwenda Miss World na sio mshindi @rosey_manfere. Hawajaeleza sababu wala kutoa maelezo.
.
Leo kupitia Twitter, Miss Tanzania @rosey_manfere amesema hana taarifa rasmi kuhusu jambo hilo na kuongeza kwamba suala hilo limefika @basata.tanzania na yeye anasubiri muongozo wao.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad