Dayna Nyange Afunguka Wasanii Watanzania Wanaipigwa Nigeria Rosa Ree Ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwamamama anayefanya poa kwenye Bongo Fleva na ngoma yake ya Elo, Dayna Nyange amefunguka bila unafiki juu ya ngoma za wasanii wa Bongo zinazosikika nchini Nigeria.

Katika mahojiano maalum na +255 Global Radio, Dayna amesema kuwa, kwa kipindi kirefu alichokaa nchini humo na kufanikiwa kufanya kolabo na Davido alibahatika kusikia ngoma za wasanii wachache kama Rayvanny, Diamond Platnumz, Rosa Ree na Harmonize kwa mbali.

Dayna anasema kuwa, Wanigeria wanapenda mno kusikiliza ngoma za kwao, lakini kwa sasa wanazidiwa na zile za wasanii wa Afrika Kusini na Kenya ambazo zinaingiliana na za wasanii wa Kitanzania.

Stori na Sifael Paul | GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad