AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume aliyefahamika kwa jina moja la Khamisi maarufu (Zungu), amefariki dunia baada ya mpenzi wake Neema Mushi waliokuwa wanaishi naye Mbezi Makabe jijini Dar es Salaam, kuchoma moto nyumba hiyo na kusababisha kifo kwa kile kinachodaiwa wamepishana kauli, huku fremu za wafanyabiashara zilizokuwa kwenye nyumba hiyo kuteketea moto.
Kwa Mujibu wa Mwandishi wetu Juma Kapalatu aliyefika kwenye nyumba hiyo ambayo kijana huyo alikuwa anaishi na mpenzi wake, ametueleza kuwa nyumba hiyo mmiliki mkubwa ni Neema ambaye alikuwa akiishi na bwana Khamisi, ambapo jeshi la polisi limefika na kuchukua mwili wa kijana huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK