Paula Anaweza Kuwa Msichana Mwenye Mafanikio Mpaka Dunia ikashangaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.

Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.

Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.

Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.

Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.

Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.

Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad