AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kununua #RollsRoyceCullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika @diamondplatnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili alizoagiza
#DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni @lamborghini pamoja na @bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
"Babies Day out... i can’t wait for my Bentley and Lambo to arrive in my Country 🇹🇿🙏🏼.... Song 🎵#IYO by @diamondplatnumz ft @focalistic @ntosh_gazi_ @mapara_a_jazz Available on all Platforms now! #SwahiliNation #Wasafi #IYOchallenge" ✍....@diamondplatnumz
#Lamborghini na #Bentley ni moja kati ya magari yenye thamani zaidi duniani ambayo hutumiwa na watu maarufu na mabilionea
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK